Nyumba mpya kubwa za kisasa napangisha au kuuza. zipo Tabata na zinafance vyumba vinne siting room, dining room, kitchen n.k , kwa maelezo zaidi kwa wale wanaohitaji wasiliana na...0717415868.
tuambie unapangisha kwa sh. ngapi acha kutuchosha mkuuHallo, nashukuru kwa ushauri wako na kwa yote ulioyasema. isipokuwa kuuza kwa hizi nyumba si kwamba kuwa nimeanzisha au nataka kuanzisha kampuni yangu ya biashara za nyumba. hapana. wala si hivyo kama unavyofikiria wewe. mimi kuamua kuuza hizi nyumba ni kwa matatizo yangu mwenyewe binafsi. na wala si kwa biashara ya kuendelea. nakama isingekuwa matatizo basi nisingeamua kuziuza hizi nyumba. na kuhusu maeneo yalivyo. Restaurant, shule au majirani kama jinsi ulivyotoa ushauri kwa mtazamo wako.kuhusu mazingira yalivyo hayamzuwii mtu kitu kununua ikiwa mtu kama kitu kweli amekipenda. kama ni shule, restaurant .nk .zipo kila sehemu hapa mjini. kuhusu picha za nyumba sikuweka na ndio maana nikaweka namba za simu ikiwa kweli unahitaji na upo serious basi unaruhusiwa kupiga na kuja kuziona hizo nyumba zilivyo na mazingira pia yalivyo. na ikiwa utapenda au kutopenda ni uamuzi wako ujue ufanye nini.
Tnx:rockon:
Hallo, nashukuru kwa ushauri wako na kwa yote ulioyasema. isipokuwa kuuza kwa hizi nyumba si kwamba kuwa nimeanzisha au nataka kuanzisha kampuni yangu ya biashara za nyumba. hapana. wala si hivyo kama unavyofikiria wewe. mimi kuamua kuuza hizi nyumba ni kwa matatizo yangu mwenyewe binafsi. na wala si kwa biashara ya kuendelea. nakama isingekuwa matatizo basi nisingeamua kuziuza hizi nyumba. na kuhusu maeneo yalivyo. Restaurant, shule au majirani kama jinsi ulivyotoa ushauri kwa mtazamo wako.kuhusu mazingira yalivyo hayamzuwii mtu kitu kununua ikiwa mtu kama kitu kweli amekipenda. kama ni shule, restaurant .nk .zipo kila sehemu hapa mjini. kuhusu picha za nyumba sikuweka na ndio maana nikaweka namba za simu ikiwa kweli unahitaji na upo serious basi unaruhusiwa kupiga na kuja kuziona hizo nyumba zilivyo na mazingira pia yalivyo. na ikiwa utapenda au kutopenda ni uamuzi wako ujue ufanye nini.
Tnx:rockon:
hahaha hv kwa nini usitafute watu wa kucheza nao?
Vp mkuu, au jamaa kaweka yako nn? lol! au dalali!hahaha hv kwa nini usitafute watu wa kucheza nao?
Mkuu hii ipo Tabata maeneo gani?
Hallo, nashukuru kwa ushauri wako na kwa yote ulioyasema. isipokuwa kuuza kwa hizi nyumba si kwamba kuwa nimeanzisha au nataka kuanzisha kampuni yangu ya biashara za nyumba. hapana. wala si hivyo kama unavyofikiria wewe. mimi kuamua kuuza hizi nyumba ni kwa matatizo yangu mwenyewe binafsi. na wala si kwa biashara ya kuendelea. nakama isingekuwa matatizo basi nisingeamua kuziuza hizi nyumba. na kuhusu maeneo yalivyo. Restaurant, shule au majirani kama jinsi ulivyotoa ushauri kwa mtazamo wako.kuhusu mazingira yalivyo hayamzuwii mtu kitu kununua ikiwa mtu kama kitu kweli amekipenda. kama ni shule, restaurant .nk .zipo kila sehemu hapa mjini. kuhusu picha za nyumba sikuweka na ndio maana nikaweka namba za simu ikiwa kweli unahitaji na upo serious basi unaruhusiwa kupiga na kuja kuziona hizo nyumba zilivyo na mazingira pia yalivyo. na ikiwa utapenda au kutopenda ni uamuzi wako ujue ufanye nini.
Tnx:rockon: