GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,548
- 108,882
Baada ya ‘ Mpendwa Mamlaka ‘ juzi kutoa ‘ Fumbo ‘ kwa Mwenzake kwa ‘ Kutupia ‘ picha ya Gari aina ya Benz KuuKuu / Chakavu ikiwa imekwama kwa Siku nne ( 4 ) sasa na kumtaka mwenye nayo akaichukue hatimaye leo hii ‘ Mpendwa Media ‘ kupitia ‘ Media ‘ yake pendwa nchini Tanzania nae ameamua kujibu mapigo kwa kuanza Kupiga Nyimbo yenye ‘ Mafumbo ‘ makubwa sana ya Msanii Bushoke ambapo sehemu ya maneno ya huo Wimbo yanasema..dunia tunapita…kwanini tunagombana wenyewe kwa wenyewe….” ukienda peponi hutoenda na hizo pesa zako / utajiri wako….watu wengi walioko jela hawana hatia…”
Ngoja niagize kabisa Kinywaji changu pendwa Ng’ang’asu / Gongo na Karanga ili taratibu nianze Kunywa na Kutafuna huku nikiiangalia hii ‘ Sinema ‘ kali ambayo naambiwa imemshinda hata ‘ Mpendwa wao Mkuu ‘ kutokana na kwamba anafaidika kwa 100% na kila mmoja wao na kwa wakati wake hivyo hajui ‘ aegemee ‘ wapi na sasa Kichwa kinamuuma.
Kazi ipo!
Nawasilisha.
Ngoja niagize kabisa Kinywaji changu pendwa Ng’ang’asu / Gongo na Karanga ili taratibu nianze Kunywa na Kutafuna huku nikiiangalia hii ‘ Sinema ‘ kali ambayo naambiwa imemshinda hata ‘ Mpendwa wao Mkuu ‘ kutokana na kwamba anafaidika kwa 100% na kila mmoja wao na kwa wakati wake hivyo hajui ‘ aegemee ‘ wapi na sasa Kichwa kinamuuma.
Kazi ipo!
Nawasilisha.