Naona sasa CCM wanavuna walichokipanda

Naona sasa CCM wanavuna walichokipanda

itamungu

New Member
Joined
Apr 23, 2015
Posts
4
Reaction score
0
Ni wazi chama tawala ccm kinaona taifa linaenda mrama ila tia tia maji tu na kama ni mgonjwa anapumulia mpira.tazama unemployment rate Kwa wazawa ni karibu 63%,money value neo HVO Tena air tel ya mia tano dakika 9 na mb10,deni LA taifa neo HVO tena,nguvu ya less yetu inashuka kama mhumaa uishao unapowaka.Ufisadi unaofanywa na ccm Kwa watanzania hasa cc vijana tusio na ajira ni kheri watupige risasi kuliko maisha haya.Wanasema tujiajiri wakati watoto wao wanaajiriwa Tena wizara nyeti.Maisha kwetu magumu huku engine wanatumia ml10 Kwa mboga bora asingesema kuliko kubeza pesa zetu za kodi.Kwa Barabara walizojenga na kujisifia mi naona ni vichochoro na ndo sababu ajali haziishi ukichanganya na utawala wa giza kila wizara imeoza mh ccm na watoto wao cc na shida zetu.SIJUTI KUZALIwA TANZANIA NAJUTIA KUONGOZWA NA CCM
 
Lakini pamoja na kuwa ICU akiona pilau ajabu anaweza kujiinua na kumaliza hotpot nzima.
Ugonjwa wa ccm ni katika kuongoza tuu na so katika kula.
Na ccm wana uhakika uchaguzi ukija kama kawaida yao watawaimbia nyimbo nzuri. MTAWACHAGUA kama sio nyie wa mjini basi kule wasipokuwa na umeme mana unyago wao hawauoni.
 
Fanya kazi,acha kukaa vijiweni na kujijaza ujinga,kwa akili yako ya kibavicha cdm ikishika nchi ndo utapata kazi??
 
Watanzania wenzangu, elimisha Jamii kuhusu kiongozi bora sio kutuhumu vyama
 
Back
Top Bottom