Tumbo Tumbo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2018
- 1,278
- 1,553
TFF wametukosesha hizi fainali wallahi. Game ya kwanza ya Lesotho ilichezwa kana kwamba ni game ya kirafiki baina ya Yanga na Namungo Fc. Majority were not aware as well ikachezewa Chamanzi huko. National team unaipelekaje Chamanzi?
.......
As a result game ikakosa msisimko na matokeo yake tukatoa sare huku tukicheza hovyo kabisa, laiti tungewafunga Lesotho siku hiyo bs leo tungechezesha hata kikosi cha vijana tu kukamilisha ratiba
Sent using Jamii Forums mobile app
.......
As a result game ikakosa msisimko na matokeo yake tukatoa sare huku tukicheza hovyo kabisa, laiti tungewafunga Lesotho siku hiyo bs leo tungechezesha hata kikosi cha vijana tu kukamilisha ratiba
Sent using Jamii Forums mobile app