Degree za kada ya Afya zitolewazo kwa hapa Tanzania ni pamoja na
1.Degree ya Udaktari
2.Degree ya Uuguzi/Ukunga (Zinatofautishwa siku hizi)
3.Degree ya Famasia
4.Degree ya Udaktari wa Kinywa na meno
5.Degree ya Sayansi ya maabara
6.Degree ya mionzi
Udahili katika degrees tajwa hapo juu unategemea na ufaulu wako katika masomo ya (PCB pamoja na Nutrition)
Ambao ufaulu unatakiwa ni kuanzia alama 8 (Cutting points) hadi 3 pamoja na kigezo cha kua na cheti level ya diploma katika taaluma yyte kati ya hizo,hivyo kua na Diploma ya Computer siyo kigezo sahihi!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.