:crying::crying::crying::crying:NAOMBEN MNISHAURI
nilimaliza kidato cha nne mwaka jana nina miaka (19) jinsia me) mchepuo science nina GPA 3.4
niliumwa hivyo nilirudishwa nyumbani kwa ajili ya matibabu wiki moja tu baada ya kuripo shuleni nilichaguliwa PCB
NA MPAKA MDA huu cjasoma kitu chochote na cna idea kwan sikuxoma tution kulingana na uwezo mdogo wa kiuchumi
wezangu wameshafika mbali kimasomo je nirudie mwaka.Kuna kaka mmoja nilimwaleza juu ya mkasa huu yeye amenishauri nirudie kwani pcb cio mchezo pia rafiki yangu anayesoma comb hiyo ameahidi kunifundisha
nilimaliza kidato cha nne mwaka jana nina miaka (19) jinsia me) mchepuo science nina GPA 3.4
niliumwa hivyo nilirudishwa nyumbani kwa ajili ya matibabu wiki moja tu baada ya kuripo shuleni nilichaguliwa PCB
NA MPAKA MDA huu cjasoma kitu chochote na cna idea kwan sikuxoma tution kulingana na uwezo mdogo wa kiuchumi
wezangu wameshafika mbali kimasomo je nirudie mwaka.Kuna kaka mmoja nilimwaleza juu ya mkasa huu yeye amenishauri nirudie kwani pcb cio mchezo pia rafiki yangu anayesoma comb hiyo ameahidi kunifundisha