Huko alpo anafanya kazi au anasoma?
vijana mnaniacha hoi mnavopelekeshwa na mapenzi, hata hamjafunga ndoa ila unakua crazy over someone... hivi ni mimi napitwa au? hua napenda, sema situation kama hizi hua nasahau fasta navuta mpya, mara nyingi ukimkosa unampata mkali zaidi sasa sijui ya nini watu wanang'ang'ania mapenzi.. kwani ulivokua hamjakutana ulikua huishi? anapiga mishe unasema "kumpenda nampenda" hahahahaha ngoja nicheke
hic km cm yake imezima charge ili ulale kwa amani hata km unaibiwa, na kumbuka fimbo ya mbali haiuwi nyoka.
maliza shule kwanza, wanamme ndio wameshushwa na makontena, wamejaa na hawaishi.
mpigie tena umuulize
why ushindwe kulala huku mwenzio anakula raha?
niPM namba yako! nikusaidie kukuliwaza ........
mi ni mgeni lakin nina mpenzi wang wa kiume, tuko mikoa miwili tofauti nampenda sana na sijawai kuwaza kumsaliti lakin nimempigia simu usikuu huu kapokea bila kujijua nkawa namsikia anamwita mwanamke aliye naye karibu aje na kwa sasa kazima simu kabisa ila kumpenda nampenda lakin naogopa kushare, naogopa ukimwi , jamn nifanyaje hapa nilipo siwez hata kulala na mawazo sana
mi ni mgeni lakin nina mpenzi wang wa kiume, tuko mikoa miwili tofauti nampenda sana na sijawai kuwaza kumsaliti lakin nimempigia simu usikuu huu kapokea bila kujijua nkawa namsikia anamwita mwanamke aliye naye karibu aje na kwa sasa kazima simu kabisa ila kumpenda nampenda lakin naogopa kushare, naogopa ukimwi , jamn nifanyaje hapa nilipo siwez hata kulala na mawazo sana