Hongera kwa kuwa na Mawazo ya kujitegemea.
1. Biashara yako ina vibali vyote halali?
2. Unaweza kuandika andiko linoonyesha kuwa ukipewa fedha itaweza kurudi. (Kwamba mradi utarudisha pesa)
3. Unataka Hiyo pesa kwa ulipe kwa utaratibu upi, kwa mwezi ama?
4. Una mdhamini ama dhamana kwa hiyo pesa unayotaka kukopeshwa?
Nijibu hapo then I will see the best way we can assist.