Habari zenu wana jf kuna shoga yangu amenijia anaomba ushaur kwang.yeye ni mama mwenye watoto 2 mume wake ni mwanajesh walioan wakiw na maish ya kawaida badae alipat cheo tena kikubwa cha ajab pamoj na mshahara wake kuwa mzur maish hayakubadilik cn hal ngumu ya maish iko pale pale tatiz lilokua zit sana kwake umalay yn kun ck alijarib majina kama matatu yakike kweny cm yak yalikua ya savewa mrs kila niliyemuliza wewe ni mrs fulan alikataa mwishon nikaamua kuwahoji wote walikiri mume wake anawatak hakuwez kuendelea tena na majina mengine coz alijiogopa alivyomuliza akamnunia ameshawah kumkut na sms za mapenz za wanawak 3 tofaut alipomuliz akaomb msamah akasem hatarudia tn tatiz lingine mume wake cm yak ina password kibao akikutajia leo kesh anabadil ukimuliz anadai ni kwaajil ya ulinz sas amemchok ila anawafikiria wtt wake nisaidien nimshaurije?