naombeni ushauri wenzangu

naombeni ushauri wenzangu

maimatha

Senior Member
Joined
Mar 2, 2013
Posts
129
Reaction score
162
habari zenu!!!
mimi nina X wangu ambae tulitengana tangu2005, tulikua tunapendana sana zaidi ya sana tulikua form 4, tulipomaliza shuleyeye akaenda depo mimi na nikaenda chuo cha utangazaji kwa mda wote huo hatukuana mawasiliano tumekaja kukutana mwaka huu tayari akiwa na mke na watotowawili. sasa jaman tungu tulipoonana hatulii anataka turudishe mahusiano miminimemwambia haiwezekani sababu wewe tayari ni mme wa mtu japokua hatukosana natulikua tunapendana sana.sijui nifanyeje sababu hatulii na mimi upendo umerudi nishaurini nifanyeje je
 
Cha msingi jua tu ana mke so ucje ukamsababishia mke mwenzako maumivu, pindi ukijaribu kurudiana naye tu jua hiyo dhambi ya kutembea na mme wa mtu itakurudia
Ni vizuri ukajiweka mbali naye kuliko kusema upendo umerudi?

Jiulize swali hili je ungekuwa umeolewa halafu mkakutana nae na akakwambia hayo maneno upendo ungerudi? tafakari
 
Tukushauri nini ilhali na wewe unataka -----anzisheni tu kutenda dhanmbi
 
tukushauri nini???
uamuzi ni wako umpe kitumbua au usimpe.
ni kitu rahisi sana hichi ila naona kama unalegea unawaza kuachia kidude.
USHAURI WANGU::::
Huyo ni mume wa mtu sasa basi hakikisha ukimpa gemu awe na mkwanja mreefu siyo utembee nae bila faida kama hana hela mfungulie mashtaka ya usumbufu akae mbali na wewe kilometa 100
 
Ushauri upi unautaka? ushasema mume wa mtu.......akili kumkichwa
 
tukushauri nini???
uamuzi ni wako umpe kitumbua au usimpe.
ni kitu rahisi sana hichi ila naona kama unalegea unawaza kuachia kidude.
USHAURI WANGU::::ukimpa gemu awe na mkwanja mreefu siyo utembee nae bila faida kama hana hela mfungulie mashtaka ya usumbufu akae mbali na we
Huyo ni mume wa mtu sasa basi hakikisha we kilometa 100

Mtakufa kwa kupenda hela, hela, hela....msonyoooooo.
 
mbona post za jioni hii zinafanana!?
anyways huyo jamaa anataka kukutumia tuu maana wanaume tunapenda kuonja papuchi nyingi
 
habari zenu!!!
mimi nina X wangu ambae tulitengana tangu2005, tulikua tunapendana sana zaidi ya sana tulikua form 4, tulipomaliza shuleyeye akaenda depo mimi na nikaenda chuo cha utangazaji kwa mda wote huo hatukuana mawasiliano tumekaja kukutana mwaka huu tayari akiwa na mke na watotowawili. sasa jaman tungu tulipoonana hatulii anataka turudishe mahusiano miminimemwambia haiwezekani sababu wewe tayari ni mme wa mtu japokua hatukosana natulikua tunapendana sana.sijui nifanyeje sababu hatulii na mimi upendo umerudi nishaurini nifanyeje je
I hope your not my sister .my sister is going through this .Well ndio alikupenda haswaa alivyokwenda uk mbona alikusahau well.Alikuwa anatapatapa Facebook Achana nae .unamiaka 40 he is not worth it ,brother men huyo .Anarudi kwa sababu usiolewe haya .I hope your not my sissy cause he is a looser
 
Tukushauri nini ilhali na wewe unataka -----anzisheni tu kutenda dhanmbi

hahaa huyo dada anajua anachokitaka sasa anataka ashauriwe nini
USHAURI NI gegedaneni nae cos hiko ndo unachotaka,kugegedana ndo habari ya mujini...........huo ndo ushauri unaoutaka
 
Back
Top Bottom