Naombeni ushauri wa kitaalam,hali ya ukame inatisha

Tandam4

JF-Expert Member
Jan 23, 2017
379
824
Wakuu,jana nilileta uzi kuwa maharage yanakaukia shambani,nimetafakari sana nikaona suluhu ni either kuchimba kisima though very expensive kwa huku manyara ama kuchota maji kwa bozer sina hakika na gharama zake.

Sasa wataalam wa haya mambo nishaurini ipi kati ya hizi ni less expensive niokoe maharagwe yangu eka 40?nafwaaaa!!hapa nilipo nakula viroba tuu nijifariji
 
Juzi huko Sanya Kuna mtu anaharisha hadi Leo, kisa kalima heka 20 za viazi vyote vimekauka kau, kwa hiyo wewe tuliza mpira Tu maisha yaendeleee
 
Wakuu,jana nilileta uzi kuwa maharage yanakaukia shambani,nimetafakari sana nikaona suluhu ni either kuchimba kisima though very expensive kwa huku manyara ama kuchota maji kwa bozer sina hakika na gharama zake.Sasa wataalam wa haya mambo nishaurini ipi kati ya hizi ni less expensinve niokoe maharagwe yangu eka 40?nafwaaaa!!hapa nlipo nakula viroba tuu nijifariji

Pole sana japo viroba havisaidii ndugu
 
Dadaake nibora kujidunga tu nlisha estimate like 50m mwezi wa 4 kuwa mfukoni mwangu
 
Wakuu,jana nilileta uzi kuwa maharage yanakaukia shambani,nimetafakari sana nikaona suluhu ni either kuchimba kisima though very expensive kwa huku manyara ama kuchota maji kwa bozer sina hakika na gharama zake.Sasa wataalam wa haya mambo nishaurini ipi kati ya hizi ni less expensinve niokoe maharagwe yangu eka 40?nafwaaaa!!hapa nlipo nakula viroba tuu nijifariji
Endelea kupiga viroba tu maana hamna namna
 
Mkuu Kodofan ni kweli tunapaswa kuomba,lakini yeye aliye Mkuu amesema "jisaidie nami nitakusaidia"
 
Back
Top Bottom