SHARPVILLE
Member
- Feb 19, 2013
- 36
- 12
Nimekutana na kijana mmoja hapa Rafiki yangu, akaanza kunisimulia matatizo yake na Mimi nikaamua bila hiyana nije hapa kwenu kumwombea ushauri.
Anasema ana umri wa karibia 30, hajaoa ila kwa nyakati tofauti amekuwa na mahusiano na wanawake wanne tofauti ananiambia kati ya hao wote hakuwahi kumpenda yeyote mpaka huyu aliye naye sasa hivi ambaye anasema anampenda sana na ananiambia ameprove hilo kila anavyowaza maisha ya baadaye bila yeye. Ananiambia tatizo lake ni kwamba huyu mwanamke hajawahi kumwamini hata kidogo japokuwa, Mara nyingine anamtuhumu kuwa anatembea na Marafiki zake na kibaya zaidi na girlfriend wake wa zamani, na kwa maneno yake hana mawasiliano na girlfriend wake aliyepita na anashangaa kwa nini imekuwa ngumu kuaminikaa.
Kwa maneno yake anasema jambo hilo halijawahi kumpa furaha hata kidogo na mara zote kila akiwaza hilo anapata sana shida, anasema yeye mwenyewe ana tatizo binafsi kwa sababu ya kutokuaminiwa na yeye amepata shida sana kumwamini huyu mwanamke. Jambo lingine ambalo anakiri kuwa nalo ni hasira na anawaomba pamoja na mambo mengine mumsaidie jinsi ya kumoderate hasira zake. Ananiambia licha ya kutokuwa na ajira amejitahidi kwa uwezo wake kutumia kile kidogo na mpenzi wake licha ya ukweli kwamba huyo mpenzi wake ana kipato kikubwa zaidi yake.
Anasema mara ya mwisho wamegombana huku sababu zikiwa hizohizo za kutuhumiwa lakini kikubwa zaidi jamaa amekuta mwanamke ndiye anayewasiliana na boyfriend wake japokuwa hajui walikuwa wanachart kitu gani na baada ya ugomvi huo mwanamke anataka mahusiano yaishe na anasisitiza yupo serious, anasema amejaribu kumpigia simu mara nyingi lakini hapokei, amemwandikia message nyingi lakini ameishia kujibiwa kwa matusi ambayo amegoma kuniambia
Mwisho anaomba nimshauri afanyeje amrudishe kama zamani? Afanyeje ili aaminike? Ananiambia anampenda huyu mwanamke kwa nguvu zake zote na swala la kuachana naye sio option.
WATU WANGU NAOMBA MUMSAIDIE.
Anasema ana umri wa karibia 30, hajaoa ila kwa nyakati tofauti amekuwa na mahusiano na wanawake wanne tofauti ananiambia kati ya hao wote hakuwahi kumpenda yeyote mpaka huyu aliye naye sasa hivi ambaye anasema anampenda sana na ananiambia ameprove hilo kila anavyowaza maisha ya baadaye bila yeye. Ananiambia tatizo lake ni kwamba huyu mwanamke hajawahi kumwamini hata kidogo japokuwa, Mara nyingine anamtuhumu kuwa anatembea na Marafiki zake na kibaya zaidi na girlfriend wake wa zamani, na kwa maneno yake hana mawasiliano na girlfriend wake aliyepita na anashangaa kwa nini imekuwa ngumu kuaminikaa.
Kwa maneno yake anasema jambo hilo halijawahi kumpa furaha hata kidogo na mara zote kila akiwaza hilo anapata sana shida, anasema yeye mwenyewe ana tatizo binafsi kwa sababu ya kutokuaminiwa na yeye amepata shida sana kumwamini huyu mwanamke. Jambo lingine ambalo anakiri kuwa nalo ni hasira na anawaomba pamoja na mambo mengine mumsaidie jinsi ya kumoderate hasira zake. Ananiambia licha ya kutokuwa na ajira amejitahidi kwa uwezo wake kutumia kile kidogo na mpenzi wake licha ya ukweli kwamba huyo mpenzi wake ana kipato kikubwa zaidi yake.
Anasema mara ya mwisho wamegombana huku sababu zikiwa hizohizo za kutuhumiwa lakini kikubwa zaidi jamaa amekuta mwanamke ndiye anayewasiliana na boyfriend wake japokuwa hajui walikuwa wanachart kitu gani na baada ya ugomvi huo mwanamke anataka mahusiano yaishe na anasisitiza yupo serious, anasema amejaribu kumpigia simu mara nyingi lakini hapokei, amemwandikia message nyingi lakini ameishia kujibiwa kwa matusi ambayo amegoma kuniambia
Mwisho anaomba nimshauri afanyeje amrudishe kama zamani? Afanyeje ili aaminike? Ananiambia anampenda huyu mwanamke kwa nguvu zake zote na swala la kuachana naye sio option.
WATU WANGU NAOMBA MUMSAIDIE.