dogo pambana na maisha kwanza...kula ujana mkuu,,,,kuoa mapema ni moja ya chanzo cha michepuko.....una 24, then ukifika 35 mwenzio ana 40,,,, ujue damu bado moto hapo,,, stress za kila aina utakuwa ushaziona....bado mtoto wewe, kama kipato iko poa wekeza kwanza......jijenge imarika kiakili....mwambie asubiri akizingua asepe.....ila uamuzi ni wako,,,pentekoste/katoliki yote ni ukristo wacha uzuzu mbwiga wewe...