Hakuna 7bu ya confirmation maana umechaguliwa hapo tayari na chuo ni hicho tu.Wakuu msaada
UbariKiwe kwa majibuHakuna 7bu ya confirmation maana umechaguliwa hapo tayari na chuo ni hicho tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Eeee ipo,but mtatumiwa code za kuconfirm na ndo maana ukiisoma hiyo meseji vizuri wanakwambia subiria code ya kuconfirmNimepata meseji ya kachaguliwa udom Sasa nauliza kwa sisi wa chuo kimoja kuna sehemu ya kukonferm?