Naombeni msaada wenu wanaJF wenzangu

KIBURUDISHO

JF-Expert Member
Mar 28, 2011
1,002
274
Kipindi cha siku za usoni kati ya mwaka 2004 na5 niliwahi kuwa na uhusiano wa kimapenzi na dada mmoja lakini baadae baada ya kumgundua ni mbwa mwitu aliyejitanda ngozi ya kondoo niliamua kuachana naye.Kwa ujumla tabia yake ilikuwa mbaya!!!!!. Kwa sasa ninaye mpenzi wangu ninayempenda sana anayejiheshimu na tunathaminiana.Hivyo basi ktk hali isiyokuwa ya kawaida kwa siku chache zilizopita nimegundua kuwa mpenzi wangu huyu wa sasa ameanza urafiki na yule dada tuliyeachana naye hapo awali.Nikizikumbuka tabia za awali za yule dada zisizokuwa na chembe ya staha nipo tayari kuachana na huyu mpenzi wangu endapo nitakapomweleza juu ya urafiki wao asikubali kuachana naye. NAOMBA nieleweke wazi kuwa simkatalii urafiki wake na huyo dada kwa sababu niliwahi kuwa naye la hasha!!!!!!
 
Kipindi cha siku za usoni kati ya mwaka 2004 na5 niliwahi kuwa na uhusiano wa kimapenzi na dada mmoja lakini baadae baada ya kumgundua ni mbwa mwitu aliyejitanda ngozi ya kondoo niliamua kuachana naye.Kwa ujumla tabia yake ilikuwa mbaya!!!!!. Kwa sasa ninaye mpenzi wangu ninayempenda sana anayejiheshimu na tunathaminiana.Hivyo basi ktk hali isiyokuwa ya kawaida kwa siku chache zilizopita nimegundua kuwa mpenzi wangu huyu wa sasa ameanza urafiki na yule dada tuliyeachana naye hapo awali.Nikizikumbuka tabia za awali za yule dada zisizokuwa na chembe ya staha nipo tayari kuachana na huyu mpenzi wangu endapo nitakapomweleza juu ya urafiki wao asikubali kuachana naye. NAOMBA nieleweke wazi kuwa simkatalii urafiki wake na huyo dada kwa sababu niliwahi kuwa naye la hasha!!!!!!
Cha msingi ni kumweleza ukweli juu ya mahusiano yako ya awali na huyo dada na kwa nini uliachana naye. Sababu za kuachana naye ndo hizo zinazokufanya usipende awe na urafiki naye.....
 
uliwahi kumweleza kuwa ulikuwa na mahusiano na yule dada?
Kama hukumkosea huyo mpenzi wako wa zamani wala hukumfanyia kitu kibaya wasiwasi wa nini
mpaka unasema akiendeleza urafiki na huyu mpenz wako wasasa unaweza nae kuachana nae,
je, kuna uhusiano gani kati ya urafiki wao na mapenzi yenu?
kama kweli mnapendana kwa dhati hilo haliwezi kukufanya utengane na huyo mpenz wako lbd kama una jingine
 
Hivi wewe utakuwa unajisikia vizuri sana kama mkeo unayempenda kwa dhati anakuwa na urafiki na madada wanaojiuza????? Eti kisa tu unampenda kwa dhati?.Upo nyumbani wanakuja hao rafiki zake wanaanza kupiga story na mkeo juu ya biashara yao ya kujiuza!!!!!!!!!!!!????????????
 
Tafuta muda mzuri kumuelewesha sabbu za kutaka asiwe rafiki ykhuyo msichana tafadhali tumia busara na maneno laini kwani inaweza badaye kusababisha kuachana.
 
mweleze huyo mpenzi wako kuhusu huyo mdada. Muweke wazi kuwa mliwahi kuwa na mahusiano ya kimapenzi, pia mwambie why ulisitisha mahusiano. Hope atakuelewa.
 
Mwambie tu ukweli na jinsi unavyojisikia maana hapo kuna mashaka juu ya huo urafiki usikute huyo aliye achwa anataka amwingize mkenge na mwenzie kwa kuona labda anafaidi.Mtu akikupenda kwa dhati yupo radhi a sucrifice mambo yake ikiwa yanaonekana kuhatarisha uhusiano wenu.
 
Una matatizo mawili!La kwanza unaogopa matokeo ya urafiki wao kuwa mabaya kitu ambacho huwezi kubadili,hivyo ni ujinga kuogopa jambo ambalo liko nje ya uwezo wako,pia fahamu hizo ni hisia zako tu sio kitu halisi,pengine urafiki wao ni wa kawaida,jambo la pili,hauko tayari kumuacha,unampenda bado,kitendo cha kutaka ushauri hapa kinaashiria kuwa hujui cha kufanya au hauko tayari kufanya unachofikiria,so unayosema kuwa uko tayari kumuacha sio kweli,jikague vizuri,acha kuogopa mawazo!Kaa na mpenzi wako!
 
Mpige stop haraka huyo mpenzi wako. Na mwambie kabisa achague either you au huyo X. Ninachoona ni kuwa huyo X atakuwa na hidden agenda. Lazima akuharibie. Yani kwenye wasichana wote ameona awe na urafiki na girlfriend wa X wake. Lazima atakuwa na mission ya kukukomoa.
 
Kipindi cha siku za usoni kati ya mwaka 2004 na5 niliwahi kuwa na uhusiano wa kimapenzi na dada mmoja lakini baadae baada ya kumgundua ni mbwa mwitu aliyejitanda ngozi ya kondoo niliamua kuachana naye.Kwa ujumla tabia yake ilikuwa mbaya!!!!!. Kwa sasa ninaye mpenzi wangu ninayempenda sana anayejiheshimu na tunathaminiana.Hivyo basi ktk hali isiyokuwa ya kawaida kwa siku chache zilizopita nimegundua kuwa mpenzi wangu huyu wa sasa ameanza urafiki na yule dada tuliyeachana naye hapo awali.Nikizikumbuka tabia za awali za yule dada zisizokuwa na chembe ya staha nipo tayari kuachana na huyu mpenzi wangu endapo nitakapomweleza juu ya urafiki wao asikubali kuachana naye. NAOMBA nieleweke wazi kuwa simkatalii urafiki wake na huyo dada kwa sababu niliwahi kuwa naye la hasha!!!!!!
Rafiki wa adui yako ni adui yako.
 
mbona issue ndogo tu hiyo. zungumza na mpenzi wako, mueleze kinagaubaga a to z kuhusu ex wako kwa mwanamke mwerevu atajua cha kufanya
 
Mweleze hutaki awe na mazoea na huyo x wako.kama ni mwelewa atakusikia.
 
Kipindi cha siku za usoni kati ya mwaka 2004 na5 niliwahi kuwa na uhusiano wa kimapenzi na dada mmoja lakini baadae baada ya kumgundua ni mbwa mwitu aliyejitanda ngozi ya kondoo niliamua kuachana naye.Kwa ujumla tabia yake ilikuwa mbaya!!!!!. Kwa sasa ninaye mpenzi wangu ninayempenda sana anayejiheshimu na tunathaminiana.Hivyo basi ktk hali isiyokuwa ya kawaida kwa siku chache zilizopita nimegundua kuwa mpenzi wangu huyu wa sasa ameanza urafiki na yule dada tuliyeachana naye hapo awali.Nikizikumbuka tabia za awali za yule dada zisizokuwa na chembe ya staha nipo tayari kuachana na huyu mpenzi wangu endapo nitakapomweleza juu ya urafiki wao asikubali kuachana naye. NAOMBA nieleweke wazi kuwa simkatalii urafiki wake na huyo dada kwa sababu niliwahi kuwa naye la hasha!!!!!!

Hapo kwenye red? Mmmh kama ya kutunga hivi.
 
Kipindi cha siku za usoni kati ya mwaka 2004 na5 niliwahi kuwa na uhusiano wa kimapenzi na dada mmoja lakini baadae baada ya kumgundua ni mbwa mwitu aliyejitanda ngozi ya kondoo niliamua kuachana naye.Kwa ujumla tabia yake ilikuwa mbaya!!!!!. Kwa sasa ninaye mpenzi wangu ninayempenda sana anayejiheshimu na tunathaminiana.Hivyo basi ktk hali isiyokuwa ya kawaida kwa siku chache zilizopita nimegundua kuwa mpenzi wangu huyu wa sasa ameanza urafiki na yule dada tuliyeachana naye hapo awali.Nikizikumbuka tabia za awali za yule dada zisizokuwa na chembe ya staha nipo tayari kuachana na huyu mpenzi wangu endapo nitakapomweleza juu ya urafiki wao asikubali kuachana naye. NAOMBA nieleweke wazi kuwa simkatalii urafiki wake na huyo dada kwa sababu niliwahi kuwa naye la hasha!!!!!!

ukisema siku za usoni maana yake ni siku zijazo au siku za mbeleni mkuu...kuhusu huyo mpenzi wako nakushauri umpe ukweli kuhusu huyo X wako ili ajue ana deal na mtu wa aina gani.ukiona haelewi somo jua tabia zao zinaweza kuwa zinafanana kama mkuu Mentor alivyosema kwamba ndege wanaofanana huruka pamoja.
 
Kwakweli km kweli unamfahamu huyo dada hana tabia inayofurahisha, mwambie tu huyo sugarbanana wako kuwa hutaki awe na mazoea na huyo dada...km kweli anakupenda na mnasikilizana atakuelewa na mambo yataisha!
 
Asanteni sana kwa ushauri wenu nimekwishaufanyia kazi na yeye mwenyewe amekili kweli niliyomwambia juu ya huyo rafiki ni ya kweli ,na hata yeye mwenyewe ameniambia tayari alikuwa amekwishaambiwa na rafiki yake mwingine juu ya tabia mbaya isiyofaa toka kwa huyo aliyekuwa rafikiake.
 
Back
Top Bottom