Naombeni msaada wapendwa!!!!!

Kazini na mwanamke asiye mke wake "Amri ya ngapi tena vile "USIZINI" then "USITAMANI MWANAMKE ASIYE MKE WAKO"

Kwanini hawajasema Mwanaume??? Hilo ndo kosa umenisoma.

Mie mzima nammiss BE wangu tu sijui yuko wapi

Hapo unazungumzia dhambi DA (kama BE hajui wajibu wake mi nitamsaidia)......hapa tunazungumzia kosa.....usiende kwenye maandiko (na mimi nikitumia maandiko ya nabii tito tutapoteza mwelekeo wa mada)
 
Kyabushaija aka.....
Shikamoooo!!!
Eti wasema, Mpe ushauri mother house basi!!!

Ushauri kwa motherhouse ni mmoja tu:-

Apige magoti na kumuombea Mumewe apate mipango mingine ya nje japo miwili zaidi ili yeye na watoto wakae kwa amani...

Basi...
 
Darl FP penye nia pana njia mpenzi, si lazima aende darasani ajifunze zis,zat..kuna shule za vitendo aingie moja kwa moja kwa busness............kutie and dye n.k. inategemea na kuamua kwake....................Si they say uzee uko kwenye akili ya mtu?? Ukikubali kuwa umezeeka hata ukiwa 35 utajiita mzee......mie tu hapa na hii 40 yangu bado najiona sweet 16 mamii.......Its all about attitude
 
okay aksante Teamo kajiswali ka uzushi...................is it possible kwa karne ya sasa kuwa na ndoa kama zile za babu zetu??.......yaani ambazo hazibase kwenye love?

hamna kitu kama hicho.....!

i expected this question from you...

''IS IT POSSIBLE FOR OUR GENERATION TO BUILD UP THE NEW WORLD WITH FAITHFULLY LOVE MARRIAGES?.....the love marriages with FAITHFULLY PARTINERS...'''

maanake nini...utandawazi unatulazimu ku-move foward sasa
 
Hapo unazungumzia dhambi DA (kama BE hajui wajibu wake mi nitamsaidia)......hapa tunazungumzia kosa.....(na mimi nikitumia maandiko ya nabii tito tutapoteza mwelekeo wa mada)

Nimekusoma Mkuu sawa kakosea kutoka nje ya ndoa yake hapo ni sawa
 
Huyu mme alimwacha mke nyuma katika maisha yake....sisemi ni lazima mke awe msomi, ila ile kuamini katika umiliki wa ndoa na mazao ya ndoa ndio jambo la muhimu...!
Hapa mwenye nafasi kubwa kufata nguvu za giza ni mke......so ndo asiyejiamini?

Nimekupata kaka!!
 

Aksante swali langu lilikuwa na maana yake.........aksante sana Babu so are you under the same trail and Mama G ategemee heat one of her life time eh?
 

Ni kweli unayosema my dear, lakini huyo mama sidhani kama anaweza lolote, yaani alishazoea kuamka, kudeki, kubandika mboga, kusonga ugali, kupika ubwabwa wa jioni................................. sidhani kama ataweza hata kuingia darasa la vitendo, maana alishaanzishiwa biashara akaiua
 
Jamani jamani, akiona wife hapa umekwisha! lazima mdhungu wa 4 leo

FP, salama lakini?

Kwa bahati mbaya sana ndoa nyingi hujengwa na mifarakano ya mara kwa mara. Unapoona ndoa tulivu fahamu kuwa haitadumu! Kugombana ndani ya ndoa kuna tengeneza "bond"...

The good thing, motherhouse nikiwahi nyumbani kila siku lazima ijumaa jioni anilazimishe nichelewe kurudi! Huwa ananiambia kuwa anahitaji uhuru at least for Friday evening! Akae na watoto waangalie "tamthilia" e.t.c! see!
 

Aksante swali langu lilikuwa na maana yake.........aksante sana Babu so are you under the same trail and Mama G ategemee heat one of her life time eh?

Sijui nyie mko na sredi yenu nje ya hii ya LD au macho yangu yanaona vibaya......
 
Ushauri kwa motherhouse ni mmoja tu:-

Apige magoti na kumuombea Mumewe apate mipango mingine ya nje japo miwili zaidi ili yeye na watoto wakae kwa amani...

Basi...

Duuuuu, natamani kukuona kwa macho,
Ngoja nimuombe Babu afanye mpango wakunileta huko uliko!!
 
Aksante swali langu lilikuwa na maana yake.........aksante sana Babu so are you under the same trail and Mama G ategemee heat one of her life time eh?

si rahisi kwa sasa kuizungumzia future kwa hali ilivyo sasa.......!

lakini inapobidi naweza kuizungumzia....!ni hivi:
WE ARE STILL IN LOVE......!a very serious one!kitu kama hicho kwa sasa naweza kusema ASIKITEGEMEE!...(as long as tutakuwa hivi)

concern yangu sasa mwanajamii,
Mimi sina uzoefu mkubwa sana kwenye ndoa.....!ninachokifanya huwa naziangalia kwa makini sana ndoa kadhaa za watu ninaowafahamu (marafiki na ndugu pia),huwa naona kuna ''tatizo'' kubwa sana.halafu mbaya kabisa ni ''a common problem''
 
Sijui nyie mko na sredi yenu nje ya hii ya LD au macho yangu yanaona vibaya......
Hapana St RR tupo pamoja ni katika kujustify point ya Teamo alosema kuwa huyu Baba alikosea kuchagua mother house kwa kuwa alichagua mtu ambaye si right partner wake. Na argument yake kubwa ni kuwa yote haya yanasababishwa na the so called love marriages................
 

Ubarikiwe sana Tuko!!!
ASANTE KWA USHAURI MZURI.
 
Teamo....aka mfalme wa amani....usiwe unatuchunganya akili eeehhh?yaani nimetoka hapa kwenda nyonyesha nawaza Teamo atakuwa kasema nini kule kwa thread kuhusu ku-cheat ....kurudi nimepata kazi ya kuanza huko nyuma only kuwa confused zaidi.......nakuomba sana.....:hand::hand:
 

Okay so kuna uwezekano au room ya kuwa na exceptions eh..(If all other factors remain constant...............)
 

Hapa rafiki nakuunga mkono, ingawa huu ukweli unauma sana. lakini mjue hata sisi hatukuumbwa kwa ajili ya mwanaume mmoja (wote si ni binadamu!!!!) lakini tunaamua tu kujiheshimu tukijua kuwa MIILI YETU NI HEKALU LA BWANA!!
 

Rafiki salama, hofu kwako.
sasa hapa rafiki unaonekana ni mkorofi sana ukiwa nyumbani, mpaka mother house anakutimua! lol! punguza kutumahasa trip za chumbani
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…