Duh, kumbe watu wengi mnaijua hii dawa!
Yaani nilikuwa napitia uzi nione kama hakuna aliyetoa hii dawa niitoe fasta, hivi mliijuaje nyie?
Maana hii dawa ni kiboko ya kichefu chefu.
Halafu huwa najiuliza kama ukitumia kikwapa cha mwenzako utapona pia?