Naombeni msaada Laptop yangu

Naombeni msaada Laptop yangu

Dozier

Member
Joined
Jul 25, 2013
Posts
20
Reaction score
5
Nahitaji msaada wadau wa IT, laptop yangu nikiiwasha display inabadilika rangi inakuwa black and white baada ya muda ndio inarudi ktk haliyake ya kawaida, Nifanyaje?
 
Nahitaji msaada wadau wa IT, laptop yangu nikiiwasha display inabadilika rangi inakuwa black and white baada ya muda ndio inarudi ktk haliyake ya kawaida, Nifanyaje?
Kioo chake kinakaribia kufa kabisa,wahi mapema kubadilisha kioo.Uko wapi? Ungekuwa Arusha ningekusaidia kubadilisha kioo chako kama ungependa.!
 
kusema si kweli bila maelezo ya kutetea point yako unanikumbusha primary school unaambia jibu KWELI kama ndio SIKWELI kma hapana
Kaka unachokisema ni sahihi ila si wakati wote mtu anakuwa na muda wa kuelezea jambo kiundani.Kingine hii ni forum ya IT kwa hiyo tunategemea watu wanaojibu vitu ni watalaam wa IT na wanajua wanachokisema.Mimi binafsi siwezi kutoa solution ya kitu ambacho sijawahi kukutana nacho au sina uhakika na jibu langu.Kwa mfano tatizo la hiyo laptop as long inadisplay vizuri,screen haina shida kwa hiyo habari za kioo kufa nami nasema inawezekana si kweli,screen ikifa huoni chochote, possibly inverter ina tatizo or anything else or lose cable from screen to the MB.Ila hata madaktari si magonjwa yote wanayatibu remotely.Atafute mtalaam aliye karibu naye, sana sana sisi wa mbali tutamshauri amwombe huyo mtalaam achunguze vitu gani.

si kweli...
You are likely to be right.

NB:Kuna watu wengi tu wamekuwa wanakimbilia kutoa majibu mpaka unajiuliza huyu mtu ni IT na anajua troubleshooting kweli.Problem isolation anajua?kama unajua say networking utaona matatizo tunaya tofautisha kama ni Transport layer,application layer,network layer etc,zile layer kama ulisoma hayakuwa mapambo zina maana yake only for those who have mastered them.Hivyo hata kwa computer unatakiwa kujua "problem isolation" au kama una muda unatumia trial and error.
 
Back
Top Bottom