Ila uliposema unawasiliana whatup na pesa unatuma kwenye namba wanazokupa wao ..... hapo kwangu mimi nakupa big NO shtukaNdio maana nikaja humu kuuliza Great thinkers
Roho Mtakatifu aliniongozaEnhee vipi ulituma?
Poakupitia uzi huu na mimi pia kaniongoza
Acha ujinga wamerudi lini, hao ni matapeli tuNadhani wamerudi tena kufanya kazi TzView attachment 2104130