L Lugano Anod New Member Joined Apr 12, 2017 Posts 1 Reaction score 0 Sep 21, 2017 #1 " Kutokana na kuwepo Kwa malalamiko mbalimbali Kwa wasanii Wa muziki na filamu nchini juu ya kuibiwa Kwa kazi zao.je wanauelewa juu ya sheria ya hakimiliki?"
" Kutokana na kuwepo Kwa malalamiko mbalimbali Kwa wasanii Wa muziki na filamu nchini juu ya kuibiwa Kwa kazi zao.je wanauelewa juu ya sheria ya hakimiliki?"
Joseverest JF-Expert Member Joined Sep 25, 2013 Posts 53,263 Reaction score 72,442 Sep 21, 2017 #2 Wengine wana uelewa wengine ndio hivyo hawana uelewa wa kutosha
Gyole JF-Expert Member Joined Sep 20, 2013 Posts 7,008 Reaction score 7,116 Sep 21, 2017 #3 Hawana uelewa