Ilole
Member
- May 13, 2014
- 16
- 1
Home wananiita useless kisa sina kazi, sina pesa, sina mbele wala nyuma, katika maisha yangu sijawai kupata nafasi yoyote ile ya kazi, nimesomea Clearing and Forwarding C&F, zaidi ya hiyo sina ujuzi wowote ule ila najifunza haraka, naombeni kazi yoyote kwa mwezi wa kwanza nipo radhi nifanye bure.
Kwa watu walio serious kunisaidia
Kwa watu walio serious kunisaidia