Naombeni connection ya kibarua wakuu.

Naombeni connection ya kibarua wakuu.

Dady6

Member
Joined
Mar 20, 2020
Posts
13
Reaction score
13
Natumai mko wazima.

Mimi ni kijana wa kitanzania, nina shahada ya Usimamizi wa Manunuzi na Mnyororo wa Ugavi (Procurement and Supply Chain Management) pamoja na cheti katika matumizi ya kompyuta (VETA).

Ninaandika kutafuta nafasi ya kazi yoyote ambayo itanipa fursa ya kutumia maarifa yangu na ujuzi wangu katika MKOA WOWOTE. ( SIYO LAZIMA IJIKITE KATIKA UWANJA WA UGAVI) .

Nina ujuzi mzuri katika:

  • Usimamizi wa manunuzi na ugavi
  • Kutathmini na kuchagua suppliers bora
  • Kuandaa na kutekeleza mikataba
  • Kutumia programu za kompyuta katika kazi za kila siku kama vile Excel, Word, na programu nyingine za usimamizi wa data

Mawasiliano: 0677785000.

Asante sana kwa muda wenu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom