Naomba uzoefu wako Mikopo ya bank / taasisi za fedha imekusaidiaje/ imekudidimizaje

mbere

JF-Expert Member
Mar 5, 2015
6,969
6,460
Mpendwa naomba uzoefu wako jinsi mikopo ya bank na taasisi mbalimbali za kifedha zilivyokusaidia kukupeleka hatua nyingine
 
mkuu usinikumbushe hyo kitu, kuna rafki yangu nyumba yake iliuzwa kwa bei ya kutupa baada ya kushndwa kumalza mkopo wa 8mil
 
Utakua uzi mujarabu sana huu.ngoja nisubiri hoja za wajumbe .nina Mkopo mmoja nimechukua wa five years umenisaidia kufanya mambo kadhaa namshukuru Mungu kwa hili.mwaka wa kwanza naamin nitaufuta! Bado naangalia maendeleo naamin nitatoboa!
 
Utakua uzi mujarabu sana huu.ngoja nisubiri hoja za wajumbe .nina Mkopo mmoja nimechukua wa five years umenisaidia kufanya mambo kadhaa namshukuru Mungu kwa hili.mwaka wa kwanza naamin nitaufuta! Bado naangalia maendeleo naamin nitatoboa!
binafsi nimechapika sana na hii mikopo 2012 nilichukua mkopo bank, kama ml 20 hivi, biashara ikaenda vizuri sana, 2013 nikasafiri kwenda dubai, nikafanya manunuzi vizuri, wakati narudi nikakabidhi mzigo kama kawaida, nikaingia na hand lagage kwenye ndege, kuna umbali kufika tu mlangoni wakasema ndani kumejaa I mean kwenye Ndege tusiingie na mizigo tuwakabidhi mizigo wakatupa tena kirisiti kingine
Akiamama nafika dar kwenye mkandaa peupe hand lagegi ndo ilikuwa na mali mzigo wa
Zaidi ya usd elfu 29 ukapotea
Nilipambana kadri ya uwezo wangu, wanasheria mwisho nikaamua kufuta na kuanza upya kupambana na marejesho
Huu ni mwezi wa mwisho wa marejesho namshukuru mungu nimejifunza mengi kwenye hiki kipindi
 
Back
Top Bottom