naomba ushauri jamani,nina mchumba wangu ananishangaza sana sasa hivi,nikimtumia sms hajibu,halafu hapigi hadi nimpigie na nikimuuliza maswali anakuwa mkali.nifanyeje wapendwa,maana mi najisikia vibaya sana anavyofanya na bado nampenda sana
naomba ushauri jamani,nina mchumba wangu ananishangaza sana sasa hivi,nikimtumia sms hajibu,halafu hapigi hadi nimpigie na nikimuuliza maswali anakuwa mkali.nifanyeje wapendwa,maana mi najisikia vibaya sana anavyofanya na bado nampenda sana
naomba ushauri jamani,nina mchumba wangu ananishangaza sana sasa hivi,nikimtumia sms hajibu,halafu hapigi hadi nimpigie na nikimuuliza maswali anakuwa mkali.nifanyeje wapendwa,maana mi najisikia vibaya sana anavyofanya na bado nampenda sana
naomba ushauri jamani,nina mchumba wangu ananishangaza sana sasa hivi,nikimtumia sms hajibu,halafu hapigi hadi nimpigie na nikimuuliza maswali anakuwa mkali.nifanyeje wapendwa,maana mi najisikia vibaya sana anavyofanya na bado nampenda sana
Aisee Inaniuma sana nikifikiria huwaga ninalia, inauma sana hata watoto wadogo wanicheka sana, Inaniuma sana nikifikiria huwaga ninalia, inaniuma sana Demu wangu amepima amekuta anangoma. Huo mstari wa mwisho ndiyo ujumbe wangu ukiendelea kug'ang'ania
Aisee Inaniuma sana nikifikiria huwaga ninalia, inauma sana hata watoto wadogo wanicheka sana, Inaniuma sana nikifikiria huwaga ninalia, inaniuma sana DEMU WANGU AMEPIMWA AMEKUTWA ANA NGOMA... Huo mstari wa mwisho ndiyo ujumbe wangu ukiendelea kug'ang'ania