NZURI PESA
JF-Expert Member
- Mar 25, 2011
- 5,958
- 2,965
Ma GT habari zenu.Ninaomba ushauri kwa niaba ya rafiki yangu.Ameolewa kwa maana ya ndoa.Maisha ni mazuri kiasi.Tatizo Mume wake hataki kumtambulisha kwa ndugu zake wa tumbo moja,wala kwa mama yake mzazi.Ndoa yao ina miaka 12 na pia hatak kumpeleka mkewe kwao alipozaliwa.Siku ya ndoa yao jamaa aliwaalika ndugu ambao ni binam zake tu.Mke alijua kuwa hao ndo ndugu kumbe si hao bali wapo ndg wa tumbo 1 ambao jamaa hataki kabisa mkewe awajue.Je nimshauri nini rafik kwa maelezo hayo?