Nimepangiwa chuo cha ualimu kigoma stashada ya ualimu wa fizikia na biologia . Sasa naomba ushauri nfanyaje jameni na mi mipango yangu ilikuwa ni kwenda advance nikasome pcb
Nimepangiwa chuo cha ualimu kigoma stashada ya ualimu wa fizikia na biologia . Sasa naomba ushauri nfanyaje jameni na mi mipango yangu ilikuwa ni kwenda advance nikasome pcb
Soma advance mdogo wangu itakupa security unaweza kwenda kwenye mchepuo tofauti chuoni, ila ukisoma diploma ya ualimu , ina kustrict kuwa mwalimu peke yake. Unless una passion ya kufundisha na umeona fani nyingine hutaki kufanya
Nimepangiwa chuo cha ualimu kigoma stashada ya ualimu wa fizikia na biologia . Sasa naomba ushauri nfanyaje jameni na mi mipango yangu ilikuwa ni kwenda advance nikasome pcb
Nimepangiwa chuo cha ualimu kigoma stashada ya ualimu wa fizikia na biologia . Sasa naomba ushauri nfanyaje jameni na mi mipango yangu ilikuwa ni kwenda advance nikasome pcb
Soma advance mdogo wangu itakupa security unaweza kwenda kwenye mchepuo tofauti chuoni, ila ukisoma diploma ya ualimu , ina kustrict kuwa mwalimu peke yake. Unless una passion ya kufundisha na umeona fani nyingine hutaki kufanya