Clara John
Member
- Dec 20, 2013
- 8
- 1
Nina umri 36yrs
Nina umri 36yrs
Me nina 42 je upo tayari?????????????
Ngono ni sehemu ndogo sana ya mapenzi inayowezwa kuvumiliwa kutokuwepo kwake upatapo umpendaye kwa dhati.
Habari zenu. mwenzenu ninabwana nampenda sana kiumri ana miaka 55 na yeye ananipenda kupita maelezo lakini kuna tatizo moja ambalo kidogo huwa linanirudisha nyuma pale kwenyekunanihiliu dakika moja tu keshamaliza namimi ananiacha nikiwa na hali mbaya hata nimfanye vipi spika haifanyi kazi je nifanyeje najitahidi sana kumpa supu ya pweza ngisi maziwa kwa tende alau tu na mie anifikishe safari yangu nifanyeje wajameni?
Upo makini watu8 ...Saluti mkuu!
ni mumeo wa ndoa?
Wewe ni nouma duh . Sasa aje aseme kama alikua anatania au la na je huyo alikua nae toka anapost hiyo uzi au ni matokeo mazuri yaliyopatikana baada ya kupost . Chezeya jeiefu weyeeeeMmmh!!! mbona kuna mahali nimeona umeandika una miaka 42???
Unaikumbuka hii post # 38?
Sosi: https://www.jamiiforums.com/mahusiano-mapenzi-urafiki/571722-natafuta-nataka-kampani-2.html
Mmmh!!! mbona kuna mahali nimeona umeandika una miaka 42???
Unaikumbuka hii post # 38?
Sosi: https://www.jamiiforums.com/mahusiano-mapenzi-urafiki/571722-natafuta-nataka-kampani-2.html
Harud tena huyu
'Kwa fimbo aliyochapwa na mkuu wetu Watu8...huyu harudi!!!
Pengine kule aliandika 42 ili kumzungua mleta hoja,huku ndiyo kasema ukweli wake.
Sent from my iPad using JamiiForums mobile app
tatizo la kutozaliwa tz wala kuishi huko. hahahahaha!!Kiswahili kinakupa shida sana