Hii hadithi imefanan na ya dadangu kipenzi (RIP).
Aliolewa na mwanaume asiyejua thamani ya mke, akamtesa kwa vipigo, akaleta wanawake hadi ndani, dada alivumilia yote. But guess what, mwisho wa siku alimuua.
Fundisho, mateso hayavumiliki, jaribu kujipenda ndio umpende mwenzio, ndo maana hata maandiko yanasema mpende jirani kama unavyojipenda. sasa wewe naona hujipendi. Take action mapema kabla haujuuawa na kuwaacha wanao wakiteseka