GLADNESS FRANK
New Member
- Feb 24, 2021
- 4
- 5
Asante AnalyseKaribu JF mrembo
Asante AnalyseKaribu JF mrembo
Kabisa hapo kwa mafundi walevi achunge sanaHongera kwa kufikiria hilo, utakuwa umefanya jambo muhimu mno. Ila hao mafundi walevi angalia nyumba yako isije kuwa ya kilevi.huko singida kuna mawe ya kujengea msingi au huwa mnatumia tofali?
Hapo kwa mafundi walevi acha a naoWakuu wenye uzoefu na maisha shikamooni.
Mimi nafanyabiashara ambayo inaniingizia 7000 kwa siku kama faida
Sasa nina kiwanja heka moja mother aliniachia kimekaa muda mrefu hakina Kazi kilikuwa kikitumika Kama shamba nako hakitoi mazao mengi kwasababu eneo Lina kichuguu
Sasa Mimi nataka kujenga angalau master room moja ambayo Ina choo ndani na kasebule, maana nafikiria huku kupanga kila mwezi nampa mwenye nyumba 30000 nimeona Bora nijenge nishaurini nitumie mbinu gani kufanikisha gharama yake maana nawaza niwe nanunua mifuko ya cement mitano kila week naiweka au nifanyeje?
Na je nahitaji ramani kwenye kanyumba Kama hako? Kuhusu msingi gharama zake zipoje?
Cha kufurahisha kuna mafundi flani ni walevi sana Bei zao nimesikia ni nzuri nawaza niwatumie wao au niwatumie tu Mafundi wazuri, lakini nataka finishing iwe nzuri decorations ziwepo yaani sebuleni niweke wallpaper na tv cabinet japo nitaweka solar maana nitakuwa nalala tu asubuhi naenda kwenye kibarua changu.
Nishaurini nianzie wapi kuhusu mchanga hakuna shida huku singida mchanga upo wa kutosha.
Nijiandae vipi niweke hela mpaka ifike milioni kadhaa au nijenge tu kwa plan hio mdogomdogo?
Ndio hapo sasaMifuko 5 kila wiki?...mapato 7k kwa siku
Kuona glad tu ukajua wa kikeKaribu JF mrembo
Jenga mdogo mdogo. Nashindwa kuapload picha ninge kutumia karamani ka self ya room 1 nzuriWakuu wenye uzoefu na maisha shikamooni.
Mimi nafanyabiashara ambayo inaniingizia 7000 kwa siku kama faida
Sasa nina kiwanja heka moja mother aliniachia kimekaa muda mrefu hakina Kazi kilikuwa kikitumika Kama shamba nako hakitoi mazao mengi kwasababu eneo Lina kichuguu
Sasa Mimi nataka kujenga angalau master room moja ambayo Ina choo ndani na kasebule, maana nafikiria huku kupanga kila mwezi nampa mwenye nyumba 30000 nimeona Bora nijenge nishaurini nitumie mbinu gani kufanikisha gharama yake maana nawaza niwe nanunua mifuko ya cement mitano kila week naiweka au nifanyeje?
Na je nahitaji ramani kwenye kanyumba Kama hako? Kuhusu msingi gharama zake zipoje?
Cha kufurahisha kuna mafundi flani ni walevi sana Bei zao nimesikia ni nzuri nawaza niwatumie wao au niwatumie tu Mafundi wazuri, lakini nataka finishing iwe nzuri decorations ziwepo yaani sebuleni niweke wallpaper na tv cabinet japo nitaweka solar maana nitakuwa nalala tu asubuhi naenda kwenye kibarua changu.
Nishaurini nianzie wapi kuhusu mchanga hakuna shida huku singida mchanga upo wa kutosha.
Nijiandae vipi niweke hela mpaka ifike milioni kadhaa au nijenge tu kwa plan hio mdogomdogo?
Hata mbao asinunue zitapindaCement usinunue Sasa inaweza ganda ukaingia hasara
Anza nunua bati na mbao
Kisha nunua tofali hasa zile za mwendokasi utaokoa Sana utapunguza gharama za ujenzi kiasi chake .
Nunua mchanga kabisa.
Nunua tiles na madirisha na mlango kabisa
Kisha ndio ununue simenti.
Mtafute fundi ikiwezekana uwe una mpiga tafu kuipandisha mdogo mdogo kuokoa gharama za vibarua .
Fasta tu utahamia kwako
Hii tabia si nzuri yakua na ma parody Account yanii unapost halafu nakujisifia kwa Account ya pili.Safi sana