nakushauri jiunge na huduma za maktaba, ambapo kwa mwaka ada ni 10000 tu kuwa member,ivo itakuwa ni rahisi kujipanga hata kwa wiki kwenda mara moja library ya mkoani kwako kusoma magazeti bure, mfano magazeti ya daily news,gurdian na mengineyo ambayo huwa na nafasi za kazi huwa yanapatikana library yoyote ile ya serikali, pia ukiwa member wa library huduma za internet huwa zinatolewa kwa bei nafuu sana, na pia library nyingi za serikali cku hizi huwa na internet, so unaweza rudi mkoani kwako na ukaendelea na application zako cha msingi jitahidi uwe unajikusanya ili zinapotokea interview uwe na uwezo wa ku attend,wengine tumejaribu kufanya hivyo imetusaidia kiasi fulani, lakin dar kama huna source of income kwa kweli itakugharimu sana kwa sababu pia hujui ni lini utapata kazi mana kuapply kazi sio kupata mana wasomi ni wengi.