Naomba ushauri wa kununua gari

Naomba ushauri wa kununua gari

mussa22

Member
Joined
Jun 1, 2013
Posts
13
Reaction score
1
jamani wadau nimejichangachanga nimepata milioni 10, na nataka kuagiza gari(Subaru forestara0 kutoka japan ya mwaka 2005 na cc 1999. je itatosha? naombeni ushauri wenu wadau. naatanguliza shukrani
 
Kwa bajeti hiyo haiwezi tosha ukijumlisha na kodi zetu hapa nchini
 
Kwa huyo mnyama (Subaru} ya mwaka huo uwe na angalau 14m
 
jamani wadau nimejichangachanga nimepata milioni 10, na nataka kuagiza gari(Subaru forestara0 kutoka japan ya mwaka 2005 na cc 1999. je itatosha? naombeni ushauri wenu wadau. naatanguliza shukrani

http://www.tradecarview.com/used_car/japan%20car/subaru/forester/11783656/

FOB $5,000
Inspection $300
Freight $1,200
Insurance $100
Paytrade $200

TOTAL CIF $6,800
Rate Tzs 1,630/$

Tshs 11,084,000/-

Hapo bado kodi aisee.
 
Jaman nashukuru sana kwa michango yenu. Kuna nyingine ya subaru forestar mwaka 2002 cc 2000 na inauzwa $3449 cfi dar vp kwa milion 10 itafaa; jaman wadau naomba msinichoke plc
 
Kama sijakosea hiyo car ina2mia mafuta sana, ina cc zaidi ya 2000,kwa wewe wa kudunduliza haikufai. Ni gharama sana kuirun,nunua gari ndogo na yenye cc ndogo yenye 4wd,
 
Back
Top Bottom