Naomba ushauri naumia sana mwenzenu

Naomba ushauri naumia sana mwenzenu

DEOCHUMA

Member
Joined
Jun 16, 2012
Posts
25
Reaction score
3
Nataka kujiajiri lakin sijui pakuanzia..Ninakipaji cha kutunga HADITHI za MOVIE na MASHAIRI kazi hii nimeanza tangu 2006,nilishawahi kufanya kazi na magazeti ya NIPASHE,MAJIRA na MWANANCHI baadhi ya HADITHI zangu ni HARUFU YA MAUTI,MTEJA ZUMBUKUKU,VUVUZELA,NILIMUUA MAMA,MALAIKA MWENYE MAPEMBE,USIPONIOA NITAKUROGA na nyingine kibao,pia huwa natunga mashairi ktk sherehe mbalimbali kama kipaimara,birthday,ndoa etc..nilifanya jitihada ili niweze kusimama mwenyewe ktk kazi hizo mfano mwaka 2012 nilimtafuta Shigongo nikapigwa za mbavu,nilitafuta waigizaji wa Bongo movie ili niwauzie story nikaambulia mateke kwa sababu eti mim sio maarufu kama wao..pesa ninazolipwa magazetin haziwez kunifikisha popote...je unanishauri nifanye nin ili niweze kuona matunda ya kipaji changu?Ahsanteni.
 
Hongera kwa kipaji.

Lakini mafanikio yote uanzia 0. tambua kitendo hata cha kupata fursa ya kuchapishwa kwa hadith zako ni hatua kubwa sana,kuonana na shigongo ni hatua,kuonana na watu wa ngono (nyie mnaita waizaji) ni hatua .

kilichobaki ni kuongeza bidii tu,utatoka tu
 
Tatizo kila mwenye kipaji cha kutunga hadithi anamtafuta Shigongo ndio maana mnazinguliwa coz mnajaa kwake asubuhi hadi jioni na mwisho wa siku anaishia kuwanyonya. Tafuta njia nyingine hata za kuungana na maunderground wenzako au kushiriki kwenye matamasha na vipindi vya tv\radio,magazeti hata ambayo sio maarufu sana etc. Utafanikiwa tu na usiache kumuomba Mungu
 
Mi nadhani ungeendele na magazeti ata kama wanakulipa kidogo ipo siku utatoka. Vp umemtafuta zamaladi wa clouds fm
 
Mi nadhani ungeendele na magazeti ata kama wanakulipa kidogo ipo siku utatoka. Vp umemtafuta zamaladi wa clouds fm

zamaladi sikuwahi kumtafuta,nilikuwa namtumia Martin Kadinda yule mwanamitindo ni rafik yngu tulisoma darasa moja yeye anajuana na wasanii wengi but naye alichemka kuniunganishia...but umenipa wazo zuri nitamtafuta zamaladi.
 
zamaladi sikuwahi kumtafuta,nilikuwa namtumia Martin Kadinda yule mwanamitindo ni rafik yngu tulisoma darasa moja yeye anajuana na wasanii wengi but naye alichemka kuniunganishia...but umenipa wazo zuri nitamtafuta zamaladi.

You have attended the same school with Kadinda? That Boys school there? Did he fail or just he refused to do so?
I advise you to try to write your novels and publish them as the books and even on the social networks. It will cost you time and money, but one day you will be successful.
 
Daah pole sana ndugu.. Naomba uingie kwenye ukurasa wa BBC swahili huwa naona wanatangaza vijana wenye vipaji kujiand
 
Back
Top Bottom