Naomba ushauri mapenzi yananitesa

kijana255

JF-Expert Member
Mar 5, 2017
277
257
Habari wakuu,

Mimi ni kijana wa umri miaka 23, nipo kwenye wakati mgumu kwa sasa kuamua kikwazo hiki kikubwa kilichopo mbele yangu. Kuna msichana mmoja nilimpenda sana pindi tukiwa chuo na kila nilipomfuata alinikatalia na kusema yeye ana mpenzi, sikukata tamaa niliendelea msumbua sana tukiwa tumeshamaliza chuo binti alikubali kwa kusema kuwa yule mpenzi wake wameachana.

Basi kwa kuwa nilimpenda nikaingia nae kwenye uhusiano na malengo yangu ni kuja kumuoa siku moja, tumedumu kwenye uhusiano kwa mda wa miezi minne hivi. Binti akaanza badilika na kusema hapaswi kuwa na mimi, hapaswi kuwa na mwanaume nilietulia kama mimi na sipaswi kuwa mume wake.

Kumbana sana akasema kuwa mwanaume wake aliyekuwa na uhusiano nae kipindi tuko chuo alikuwa anafanya nae mapenzi kinyume na maumbile na wamefanya hivyo kwa mda wa miaka miwili ndipo wakaachana, binti anasema hataki mambo ya mahusiano au kama nitaendelea kuwa nae nikubali kufanya nae kinyume na maumbile.

Mi nampenda huyu binti nije kumuoa siku moja ila sasa nipo dilemma kumuacha au kuendelea NAE, NAOMBA USHAURI WENU WADAU.

NATANGULIZA SHUKRANI.
 
Endelea nae tu na fumuen marinda tu ila wakati wa kuzaa uwe nae labour ili uzibe na mkono wako hilo tundu. Achen akili za kishetan nyie watoto. Achana nae na jenga maisha yako. Unless otherwise nawe ni mwanachama wa mtandao pendwa.
Nb: dini zoe zimekataza
 
Pole sana kwa yanayokusibu
Mke si sura, mke si umbile mke ni zaidi ya dada,mama kwa hizo tabia hafai kabisa kuolewa na wewe pia kufanya kinyume na maumbile kuna athari kwenu wote wawili najua huwa inauma kuacha kitu bado unakipenda lakini jikaze huyo achana nae.
 
Endelea nae tu na fumuen marinda tu ila wakati wa kuzaa uwe nae labour ili uzibe na mkono wako hilo tundu. Achen akili za kishetan nyie watoto. Achana nae na jenga maisha yako. Unless otherwise nawe ni mwanachama wa mtandao pendwa.
Nb: dini zoe zimekataza
Asante kwa ushauri, mi sijawai Fanya ivo ndugu na sitarajii najua ni kinyume na maadili
 
Miaka 23 mda mzuri wakujipanga Bwana mdogo ...Yan mapenzi yanakutesa bado pesa hajizakutesa Bado maisha kwa ujumla hayakutesa mizigo mingine ni kujitakia tu...Achana naye
BTW Upo dilema ya wapi nije kukupa Hi kidogo
Asante sana kwa ushauri nimekuelewa sana sana
 
Mkuu umeokota dodo chini ya mbuyu...


Mbona mm sipati bahati km hizi
 
Shida yako, kwavile ushampenda, basi umejiwekea kuwa huyo msichana ndo wakuoa. Usipofushwe na upendo wako.

Honestly, kwa unavoelezea, huyo msichana hakupendi. Trust me. Akija mtu mwingine akamshawishi kidogo tu, basi atakuacha.

Mi nakushauri achana nae. Unamiaka 23 you are still young, so you'll find someone ambae mtapendana kwa dhati, na mnaendana.
 
mapenzi bwana ,yani mpaka hapo umeshindwa kujua mpenzi wako ni wa aina gani?na umeshindwa kujua kuwa huyo hafai hata kidogo?hujui kama anakupeleka motoni maana hiyo tabia ukianza ndo umeanza ni kama madawa ya kulevya?by ze way wewe bado mdogo kuchukua zigo kama hilo
 
Kijanaa embu tafuta manzi ingine ariifu huyo hakufai kabii...kabisa kweli...Angalia usije ukapata laana na wewe
 
Back
Top Bottom