Naomba ushauri kwa haya matokeo

Naomba ushauri kwa haya matokeo

manjasa

Member
Joined
Jul 6, 2017
Posts
8
Reaction score
0
Habari za majukumu wakuu
Nahitaji msaada toka kwenu kwa haya matokeo
History D
Kiswahili D
English C
Geography C
Chemistry D
Civics. C
Physics C
Bios C
B/mathematics D

Je? Kuna kusubiri second selection?
Ingawa Jina langu lipo kwenye second selection na kweny combination nimeandikiwa arts and science

Pia kuna ukweli wowote nikisoma private advance chuo nakosa mkopo ingawa o'level nimesoma grvnt

Au koz gani naweza kusoma ya afya na chuo gani ,pia naweza kuanza na diploma

Msaaada wenu please natanguliza shukrani za dhati kwenu
 
Omba CO haraka kabla dealine haijafika... utatusua tu
 
Back
Top Bottom