Naomba ushauri kuhusu Biashara ya M-Pesa

Naomba ushauri kuhusu Biashara ya M-Pesa

Lord OSAGYEFO

JF-Expert Member
Joined
Feb 19, 2021
Posts
3,079
Reaction score
4,891
Wadau naomba Msaada wa Ushauri juu ya Biashara ya MPESA

1. Mtaji kwa kila Mtandao
2. Bidhaa za kuchanganya na Mpesa
3. Faida na Hasara
4. Changamoto zake
 
Mtaji Kila mtandao ili ufanye kazi vizuri andaa angalau ml 1(1000000)

Bidhaa za kuchanganya ni maji soda juice nk

Faida utaipata endapo utapata eneo lenye mzunguko Wa watu wengi pia ukiwa na posi za bank utafaidi zaidi.

Changamoto ni pesa kupotea Kama anayekufanyia kazi hayupo makini.
 
4. Changamoto yake

baada ya tozo kuingia wateja wengi wamepungua so mpesa saiv hailipi kama zamani (usiingie na mawazo ya waliofanya zamani)
 
Back
Top Bottom