juliano norman
Member
- Dec 17, 2015
- 41
- 4
nimerudia mtihani wa kidato cha nne kwa masomo tano na kupata ufaulu wa c,c,b,d,na d,naombeni ushauri nina sifa ya kujiunga na chuo cha ualimu?
nataka ualimu wa shule ya msingiSifa unazo unataka ualimu upi idara gani?
basi nashukuru mungu na maombi yanatoka mwezi wa ngapi na wapi ni bora kuombea kati ya chuoni au wizarani?sifa unazo!
Usirudi na kilio baadae hapa jukwaaninimerudia mtihani wa kidato cha nne kwa masomo tano na kupata ufaulu wa c,c,b,d,na d,naombeni ushauri nina sifa ya kujiunga na chuo cha ualimu?
kwann unaniambia nisirudi na kilio hapa jukwaani?Usirudi na kilio baadae hapa jukwaani
KwendraaaUsirudi na kilio baadae hapa jukwaani