Naomba ufumbuzi wa tatizo hili.

Naomba ufumbuzi wa tatizo hili.

Amosi Asanali

Member
Joined
Oct 9, 2012
Posts
46
Reaction score
5
Habari wana jf. Kijana wangu wa miaka minne anasumbuliwa na vipele vidogo vidogo vinatokeza kwenye kwapa na shingoni, tumetumia tube nyingi sana lakini vinatoweka baada ya muda vinarudi tena nilipewa ushauri kuwa ni fungus tukapewa dose ya fungus alitumia yote ikaisha baadae vimerudi tena. Hivi vipere vinakuwa kama vichunusi lakini ni vingi sana kwapani, msaada kwa anayefahamu tiba sahihi. Nawasilisha.
 
Rudi kwa daktari aliekushauri kutumia dawa zile za awali, mueleze shida yako, kama tatizo litaendelea, tafuta daktari mwingine maana wanazidiana ujuzi na uzoefu.
 
Back
Top Bottom