Naomba ufahamisho

Naomba ufahamisho

24th DECEMBER

JF-Expert Member
Joined
Jan 29, 2013
Posts
401
Reaction score
167
Nauliza tu kwaupole.
Hivi kuwa member wa JF unatakiwa uwe na
uzoefu??
Na kama uzoefu usipungue muda gani??
Maanake member mgeni akileta/akichangia
uzi utaona kuna mijamaa inamsakama "ooooh kwanza ni mgeni hapa jamvini"
Au JF ni kwa wakongwe pekee?
Sasa waanzilishi wangekua wananyanyapaa
new membbers, jee wewe expert
ungekuepo?
 
Back
Top Bottom