24th DECEMBER
JF-Expert Member
- Jan 29, 2013
- 401
- 167
Nauliza tu kwaupole.
Hivi kuwa member wa JF unatakiwa uwe na
uzoefu??
Na kama uzoefu usipungue muda gani??
Maanake member mgeni akileta/akichangia
uzi utaona kuna mijamaa inamsakama "ooooh kwanza ni mgeni hapa jamvini"
Au JF ni kwa wakongwe pekee?
Sasa waanzilishi wangekua wananyanyapaa
new membbers, jee wewe expert
ungekuepo?
Hivi kuwa member wa JF unatakiwa uwe na
uzoefu??
Na kama uzoefu usipungue muda gani??
Maanake member mgeni akileta/akichangia
uzi utaona kuna mijamaa inamsakama "ooooh kwanza ni mgeni hapa jamvini"
Au JF ni kwa wakongwe pekee?
Sasa waanzilishi wangekua wananyanyapaa
new membbers, jee wewe expert
ungekuepo?