hyo itakuwa ni muhmu, especialy kutokana na chuo chenyewe. Kuna vyo huwa wanataka kuhakiki watu waliopangiwa, hvyo huitaji viambatanisho vifuatavyo;
1. Academic Certificate/result slip(IV & VI)
2. Birth certificate
3. Leaving certificate (IV & VI)
hyo itakuwa ni muhmu, especialy kutokana na chuo chenyewe. Kuna vyo huwa wanataka kuhakiki watu waliopangiwa, hvyo huitaji viambatanisho vifuatavyo;
1. Academic Certificate/result slip(IV & VI)
2. Birth certificate
3. Leaving certificate (IV & VI)
kuna mambo mawili yanakuhusu
1. inawezekana wewe ni mgumu sana wa kuelewa(slow learner)
2.una kihoro cha kujiunga na chuo
kama tatizo ni ugumu wa kuelewa, basi anza kuitune akili yako mapemaa ili kukabiliana na maisha ya chuoni, kama ni kihoro basi jaribu kukipunguza.
ni mtazamo tu usikasirike haya ni mawazo tu
-kuhusu swali lako, jibu ni kwamba nenda na vyeti original ulivyotajiwa na mdau hapo juu