Kwa kawaida sana,kama unataka kusafir mfano kwenda Arusha,dar,dom,jiandae kusafir cku 3,taasis za elimu ya juu sahau maana hata inayotoa dipl hamna,huduma ya afya mmmh!ipo kama sehem nyingne za tz hasa halmashaur,maisha always yanafanana tz kasoro,ila huwez fananisha na wilaya au sehem za kilimanjaro au hata mbeya sehem baadhi.kifupi uwe mvumilivu.