Kichwa changu baada ya kuwa na msongo wa mawazo wa mda mrefu naona kwa ndani kama kuna washa kama kizito yani hata sikielew nitumie dawa gani mwanzo hakikwepo ivyo ila sioni kama kinauma ningekunywa panadol
Najijua nina mawazo tangu mwez wa saba mwaka jana had leo sijawahi kufurahia maisha yangu ninayoishi kwa sasa nina waza 24 hrs na nais itakuwa chanzo cha matatiz ya kichwa man mda mwingin naon kama nimebeba kitu had nitie maji yakikauk hali inarud tena
Duh pole saana, ungetafuta marafiki au watu wakuongea nao, waelezee shida/mawazo yako, the more you talk/share the better, kuliko kubakia na mawazo yako mwenyewe.
Duh pole saana, ungetafuta marafiki au watu wakuongea nao, waelezee shida/mawazo yako, the more you talk/share the better, kuliko kubakia na mawazo yako mwenyewe.
Najijua nina mawazo tangu mwez wa saba mwaka jana had leo sijawahi kufurahia maisha yangu ninayoishi kwa sasa nina waza 24 hrs na nais itakuwa chanzo cha matatiz ya kichwa man mda mwingin naon kama nimebeba kitu had nitie maji yakikauk hali inarud tena
Utieje maji mkuu? Ebu elezea vizuri Kwamba unahisi ndani ya kichwa kuna maji au kitu kizito kinacheza au kimeganda, Hali hiyo inakutokea ukiwa na mawazo mda sana au ni mda wote hali hiko hivyo?
Utieje maji mkuu? Ebu elezea vizuri Kwamba unahisi ndani ya kichwa kuna maji au kitu kizito kinacheza au kimeganda, Hali hiyo inakutokea ukiwa na mawazo mda sana au ni mda wote hali hiko hivyo?
Mkuu ungejieleza hapa hapa kwa Ufasaha kuna macho ya wengi hapa unaweza pata msaada, pia kua wazi hata kama hauna pesa kwenda kufanyanyiwa uchunguzi kuna watu waweza kukusaidia,. Jieleze vizuri mkuu