Naomba msaada wa PC

raskaka

Member
Joined
Feb 22, 2014
Posts
74
Reaction score
12
Nina pc yangu aina ya acer shida inakuwa kuwaka inachukua dakika 20 kwa kujirestart mara system recover nimebadili window bado tatizo linaendelea naomba yeyote mwenye uelewa anisaidie plz
 
ni Acer veriton series ya M?
Nina pc yangu aina ya acer shida inakuwa kuwaka inachukua dakika 20 kwa kujirestart mara system recover nimebadili window bado tatizo linaendelea naomba yeyote mwenye uelewa anisaidie plz
 
Pc yangu ilikuwa na hili tatizo wakati fulani. Mi nilichofanya ni kupiga window mpya.
 
hilo tatizo linaweza kusababishwa na HDD au RAM. au shida kwenye motherboard ingawa shida ya motherboard huwa ni kubwa kidogo.

Jaribu kubadilisha HDD. isipotulia Badilisha RAM (itakuwa inatumia DDR2 bila shaka).



endapo shida ipo kwenye motherboard basi computer ita misbehave mara kwa mara hata wakati unapiga window inaweza kuenda vizuri mara ukirudia inakwama. unaweza kudhani shida ni hard disk. Angalia kwenye motherboard kama kuna dalili yoyote mbaya kama loose connections, au capacitors zilizovimba au kupasuka.
Ndio yenyewe
 
Asante mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…