Naomba Msaada wa kuspy message za whatsapp

kwenye status Kuna nn mkuu?mm nataka sms ,videos na pics anazotumiwa zije kwangi


Mkuu huna kazi za kufanya? Achana na ukoloni wako fikiria mambo ya maendeleo. Chukua muda wako unaoutumia kwenye social issues, then ongeza na muda ambao utakuwa unapekua simu ya mpenzi wako, then utoe kutoka muda ambao ulipaswa ufanye shughuli za maendeleo na kupumzisha akili utabaki na muda kasi gani?
 
Kwa hiyo mkuu
Whatsapp web ikishascan ile barcode ya mtu unaetaka kumtrace inaretrieve mpaka contacts zake zote???
 
Jaribu mkuu
Then utupe feedback kwenye Hii Hii thread
 
mmechoka wapenzi wenu sio ?
haya wachunguzeni muachane nao tuoe..
umechepuka mara ngapi hata mwenzako nae asichepuke ?
 

du...kweli ww ni mchungaji mhuni
 
Last edited by a moderator:
Huu ni ujinga watu mmekutana ukubwani eti kumchunguza???? Mbafu.
 
Njia nyingine rahic kabisa ni kumtmbelea Mara kwa Mara na kushika cm yake na kusoma text basi
 
Ukishaona umeanza kuwa na mawazo ya kumchunguza "mpenzi" wako juwa kuwa "there is something wrong".....
 
Something wrong kwa anayechunguza au anayechunguzwa
Dadavua please
 
[How mkuu
Hebu nipe lecture mkuu
Au ndo unaiscan barcode ya muhusika kwenye simu n sio laptop?????
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…