Naomba kwa yeyote anaejua jinsi ya kuandaa proposal anielekeze. Nataka kuomba hela kwa wawekezaji ili niendeshe biashara.
Hivyo Kama unajua kuandaa proposal, please nielekeze
Naomba kwa yeyote anaejua jinsi ya kuandaa proposal anielekeze. Nataka kuomba hela kwa wawekezaji ili niendeshe biashara.
Hivyo Kama unajua kuandaa proposal, please nielekeze
Naomba kwa yeyote anaejua jinsi ya kuandaa proposal anielekeze. Nataka kuomba hela kwa wawekezaji ili niendeshe biashara.
Hivyo Kama unajua kuandaa proposal, please nielekeze
First nataka nifanye mradi wa kuku wa kienyeji...
And pili nataka niandae proposal ya kuomba ratiba ya kipindi ktk moja ya redio pendwa hapa mjini, idea ya kipindi nnayo