Uvimbe uko kwa ndani (yaani ndani ya tumbo) au kwa nje (kwenye ngozi au misuli ta ukuta wa tumbo)?
Mtoto huwa anapata matatizo ya kupungukiwa na damu, manjano ya macho, homa za mara kwa mara?...ni vigumu kusema kwa uhakika maana umetaja dalili moja tu, lakini inaweza kuwa uvimbe wa 'bandama' (Spleen). Mpeleke mtoto hospitali akachunguzwe.
Uvimbe wa bandama mara nyingine yaweza kuwa ni tatizo kubwa hasa kwenye mfumo wa damu.