Samahan wakuu nina tatizo hapa la mita au maalufu kama luku ni ile ya kisasa yenye kile kimita kidogo kama kalukuleta cha kuingizia umeme na kuangalia pia sasa imekuwa na tatizo hili la connect fail kama mwezi hivi nikawasiliana na tanesco iliyopo jirani yangu maana mimi niko dat mitaa ya tabata, baada ya kuwaeleza tatizo langu wakanipa namba za kuwa naingiza ili kuondoa tatizo hilo kwamba nitaandika kwenye kile kimita kidogo 59698686 kisha namba ya mita yangu kisha nipige ok yaani connect na tatizo linaisha na kufanikiwa kuingiza umeme
Sasa leo tena limejirudia na linatokea mara kwa mara sasa hasa umeme unapoisha kabisa mkitaka kuingiza mwingine, sasa leo nimetumia njia hiyo naona tatizo halitaki kuisha na nmeshanunua umeme ila niko giza kisa hilo tatizo sasa naomba mwenye njia na msaada mwingine a nisaidie na najua ukinisaidia mini hapa utakuwa umetusaidia watu wengi sana wenye kukutana na tatizo kama langu humu mita namba yangu inaanza na 3720 kuendelea nitafurahi sana nikipata ufumbuzi wa tatizo langu humu maana naamini wengi wenu mnauzoefu wa haya mambo kuliko mimi, napiga namba za tanesco za Ofisi ambazo huwa natumia siku zote naona hazipatikani. Kabisa, Asanteni na karibuni sana. Kwa maelezo zaidi namba yangu ni 0620 283 853.


Sasa leo tena limejirudia na linatokea mara kwa mara sasa hasa umeme unapoisha kabisa mkitaka kuingiza mwingine, sasa leo nimetumia njia hiyo naona tatizo halitaki kuisha na nmeshanunua umeme ila niko giza kisa hilo tatizo sasa naomba mwenye njia na msaada mwingine a nisaidie na najua ukinisaidia mini hapa utakuwa umetusaidia watu wengi sana wenye kukutana na tatizo kama langu humu mita namba yangu inaanza na 3720 kuendelea nitafurahi sana nikipata ufumbuzi wa tatizo langu humu maana naamini wengi wenu mnauzoefu wa haya mambo kuliko mimi, napiga namba za tanesco za Ofisi ambazo huwa natumia siku zote naona hazipatikani. Kabisa, Asanteni na karibuni sana. Kwa maelezo zaidi namba yangu ni 0620 283 853.


