MBUNICHA
Member
- Dec 19, 2012
- 15
- 1
Simu yangu haioneshi massage znazoingiaa ila nikituma mimi fresh inaenda kama kawa. Nimecheki setting ziko fresh msg center no. iko vizuri.
Nikichange line na kuweka kwenye simu nyingne zinaingiaaa fresh. Had hapa nmeshindwa jinsi ya kufanya coz nmejaribu njia nyingi tatizo liko pale pale.
Aina ya cm ni Tecno P5 (rooted na nishawahi futa baadh ya system file so cjajua ka kunakitu nilkologa wakati wa kufuta nikafuta kitu kinachowezesha kureceive txt).
Naomba nieleweshen kidogo nianzie wap kwa hilo Tatizo.
Thanks.
Nikichange line na kuweka kwenye simu nyingne zinaingiaaa fresh. Had hapa nmeshindwa jinsi ya kufanya coz nmejaribu njia nyingi tatizo liko pale pale.
Aina ya cm ni Tecno P5 (rooted na nishawahi futa baadh ya system file so cjajua ka kunakitu nilkologa wakati wa kufuta nikafuta kitu kinachowezesha kureceive txt).
Naomba nieleweshen kidogo nianzie wap kwa hilo Tatizo.
Thanks.