Naomba msaada kuhusu ushuru wa Gari.

Ua4

Member
Joined
Aug 30, 2016
Posts
32
Reaction score
54
Habari za majukumu wakuu?
Nahitaji msaada wa information. Kuna mzigo wangu nimeuagiza kutoka huko ugaibuni. Sema huu mzigo una utata kidogo.
Sasa nilikuwa nahitaji kama ningepata afisa wa TRA anisaidie japo mawazo tu ili niokoke kwenye hili janga. Maana naona ni kama jumba bovu linataka kuniangukia.
Tafadhari kama huyo afisa hatajali aje PM aniokoe hata kwa mawazo tu.
Mzigo wenyewe ni gari.
Shukrani sana wakuu.
 


Swali la msingi watakujibu wataalam wanakuja

Mimi ngoja nishangae jambo hapa!!

Kumbe Hiace huja na seat 10 halafu tunashonwa abiria 18 wa kukaa na kusimama 10!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…