Naomba msaada jamani

Naomba msaada jamani

sadati audax

Member
Joined
Aug 24, 2017
Posts
17
Reaction score
2
Nilichaguliwa udom first selection nikiwa kwenye group la multiple selection. Sa nkapigiw na admision oficer wa udom akasem kama nataka kwenda udom nimwambie aconfirm, nkamwambia aconfirm na mm nkaingia kwenye account yangu nikaconfirm lakn jana naangalia majina ya waliofanikiwa kuconfirm udom hata jina langu hamna, nifanyeje jaman maana wao nawapigia bado sijapata msaada
 
Nilichaguliwa udom first selection nikiwa kwenye group la multiple selection. Sa nkapigiw na admision oficer wa udom akasem kama nataka kwenda udom nimwambie aconfirm, nkamwambia aconfirm na mm nkaingia kwenye account yangu nikaconfirm lakn jana naangalia majina ya waliofanikiwa kuconfirm udom hata jina langu hamna, nifanyeje jaman maana wao nawapigia bado sijapata msaada
Sio wewe peke yako mimi mwanangu yamemkuta jaribu kupitia vyuo ulivyokuwa umechaguliwa yawezekana wamekuconfirm huko, hivyo huko tcu wakiona umeconfirm vyuo viwili jina lako halirudishwi chuoni, mwanangu ali confirm Dodoma online na kwa sms sasa baada kutokea hivyo niliangalia ifm nikakuta kuna majina ya wale ambao hawakuwa approved na tcu na wame confirm IFM nikakuta jina la mwanangu lipo huko eti ka confirm IFM,Nikashangaa kwani mwanangu kwanza hajawahi kuingia mtandaoni na ni mimi nilikuwa naingia mtandaoni, na pili kila hatua lazima tushauriane. Nikabaki bila jibu ya nani ka confirm kwa niaba yake au IFM wameamua kuwafanyia confirmation?
Kwa hiyo kama ulikuwepo IFM cheki huenda hayo maswahibu yamekukuta.
 
Asante mkuu,,,vp apo sasa tcu ukiconfirm vyuo viwili wanakufuta sehem zote au wanakuacha na moja?
 
Asante mkuu,,,vp apo sasa tcu ukiconfirm vyuo viwili wanakufuta sehem zote au wanakuacha na moja?
Hawatarudisha jina lako kwa chuo chochote, mimi nilimtuma ndugu yangu aliyepo Dar,alikwenda IFM wakamwambia wao hawawezi kumtoa kwenye list ya walio confirm ila aende TCU na TCU wakamwambie mwanafunzi aandike barua kwa vyuo husika kile anachotaka awathibitishie kuhudhuria huko na kile asichotaka awaandikie kuwa hataenda huko, amefanya hivyo kwa email na nakala katuma TCU lakini bado anasubiri kama kutakuwa na matokeo chanya.
 
Mm sijui iko vp maana kaka angu ameenda tcu wakamwambia jina langu limekuw admitted udom only na tayar mkop nimept batch ya pili...japo nimeangalia jina kwenye pdf,,,kwenye account mtandao unazingua
 
Jaman kwa mm ambaye nimepata had admission namba ya udsm ila kunakingine niliconfirm itakuwaje??? naomba msaada!
 
Back
Top Bottom