waungwana habari zenu, poleni pia namajukumu yakila siku. mm nimwanafunzi ninayesoma diploma in law nipo likizo takribani mwezi1 tutakapofungua ndyo itakuwa semester yangu yamwisho ..yani nitakuwa ninaenda malizia kozi yangu. waheshimiwa nawaungwana nimekwama kupata ada nitakayotakiwa kulipa ili niweze malizia kozi yangu. ninaomba wote wenye mapenzi mema waweze nisaidia kupata kaziyatempo ninaahdi kuwa mchapa kazi namwaminifu. ninawashukuru sana mbarikiwe